Sefania 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nalo litakuwa eneo la mabaki ya nyumba ya Yuda.+ Humo watalisha. Katika nyumba za Ashkeloni, wakati wa jioni, watalala wakiwa wamejinyoosha. Kwa maana Yehova Mungu wao atawakazia fikira zake,+ akusanye na kurudisha walio mateka kati yao.”+
7 Nalo litakuwa eneo la mabaki ya nyumba ya Yuda.+ Humo watalisha. Katika nyumba za Ashkeloni, wakati wa jioni, watalala wakiwa wamejinyoosha. Kwa maana Yehova Mungu wao atawakazia fikira zake,+ akusanye na kurudisha walio mateka kati yao.”+