11 Na itatukia katika siku hiyo kwamba Yehova atatoa tena mkono wake, mara ya pili,+ ili kuchukua mabaki ya watu wake watakaobaki kutoka Ashuru+ na kutoka Misri+ na kutoka Pathrosi+ na kutoka Kushi+ na kutoka Elamu+ na kutoka Shinari+ na kutoka Hamathi na kutoka visiwa vya bahari.+
7 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Mlilieni Yakobo kwa sauti kubwa kwa kushangilia, na kupaaza kelele mbele ya mataifa.+ Tangazeni jambo hilo.+ Sifuni na kusema, ‘Waokoe, Ee Yehova, watu wako, mabaki ya Israeli.’+
12 “ ‘Hakika nitamkusanya Yakobo, ninyi nyote;+ bila shaka nitawakusanya pamoja wanaobaki wa Israeli.+ Nitawaunganisha, kama kundi zizini, kama kundi la wanyama katikati ya malisho yake;+ huko kutakuwa na kelele za wanadamu.’+
7 Nami nitamfanya yeye aliyekuwa akichechemea awe mabaki,+ na yeye aliyekuwa ameondolewa mbali awe taifa lenye uwezo;+ na Yehova atatawala juu yao akiwa mfalme katika Mlima Sayuni, kutoka sasa na kuendelea mpaka wakati usio na kipimo.+
12 Naye Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli, na Yoshua mwana wa Yehosadaki+ kuhani mkuu, na mabaki yote ya watu wakaanza kuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wao,+ na maneno ya nabii Hagai,+ kulingana na vile Yehova Mungu wao alivyokuwa amemtuma; nao watu wakaanza kuogopa kwa sababu ya Yehova.+