12 Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na Yoshua mwana wa Yehosadaki,+ kuhani mkuu, na watu wengine wote wakaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wao na maneno ya nabii Hagai, kwa sababu Yehova Mungu wao alikuwa amemtuma; na watu wakaanza kuogopa kwa sababu ya Yehova.