Yeremia 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini niliwaamuru neno hili, nikisema: “Tiini sauti yangu,+ nami nitakuwa Mungu wenu,+ nanyi mtakuwa watu wangu; na mtembee katika njia+ yote ambayo nitawaamuru ninyi, ili iwe vema kwenu.”’+ Waebrania 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa sababu hiyo, kama vile inavyosema roho+ takatifu: “Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+
23 Lakini niliwaamuru neno hili, nikisema: “Tiini sauti yangu,+ nami nitakuwa Mungu wenu,+ nanyi mtakuwa watu wangu; na mtembee katika njia+ yote ambayo nitawaamuru ninyi, ili iwe vema kwenu.”’+