2 Samweli 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Roho ya Yehova ndiyo iliyosema kupitia mimi,+Na neno lake lilikuwa kwenye ulimi wangu.+ Matendo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Wanaume, akina ndugu, ilikuwa lazima andiko litimizwe,+ ambalo roho takatifu+ ilisema kimbele kwa kinywa cha Daudi kumhusu Yuda,+ aliyekuwa kiongozi kwa wale waliomkamata Yesu,+
16 “Wanaume, akina ndugu, ilikuwa lazima andiko litimizwe,+ ambalo roho takatifu+ ilisema kimbele kwa kinywa cha Daudi kumhusu Yuda,+ aliyekuwa kiongozi kwa wale waliomkamata Yesu,+