Isaya 37:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na sasa, Ee Yehova Mungu wetu,+ utuokoe kutoka mkononi mwake,+ ili falme zote za dunia zijue kwamba wewe, Ee Yehova, ndiye Mungu peke yako.”+ Ezekieli 26:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na miji yake ya kandokando iliyoko shambani—watauawa kwa upanga, na watu watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+
20 Na sasa, Ee Yehova Mungu wetu,+ utuokoe kutoka mkononi mwake,+ ili falme zote za dunia zijue kwamba wewe, Ee Yehova, ndiye Mungu peke yako.”+
6 Na miji yake ya kandokando iliyoko shambani—watauawa kwa upanga, na watu watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+