2 Samweli 12:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na Yoabu+ akaendelea kupigana na Raba+ jiji la wana wa Amoni, akateka jiji la ufalme ule. Ezekieli 21:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Unapaswa kuweka njia ili upanga uingie ndani ya Raba+ la wana wa Amoni, na moja ndani ya Yuda, ndani ya Yerusalemu lenye ngome.+
20 Unapaswa kuweka njia ili upanga uingie ndani ya Raba+ la wana wa Amoni, na moja ndani ya Yuda, ndani ya Yerusalemu lenye ngome.+