Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Ogu mfalme wa Bashani ndiye tu aliyebaki kati ya mabaki ya Warefaimu.+ Tazama! Sanduku lake lilikuwa sanduku la chuma. Je, haliko kule Raba+ kwa wana wa Amoni? Urefu wake ni mikono tisa, na upana wake ni mikono minne, kwa mkono wa mwanadamu.

  • Kumbukumbu la Torati 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Usifanyie kazi amani yao na ufanisi wao siku zako zote mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Yoshua 13:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 na eneo lao likawa Yazeri+ na majiji yote ya Gileadi+ na nusu ya nchi ya wana wa Amoni+ hadi Aroeri,+ lililo mbele ya Raba;+

  • Yeremia 49:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Piga mayowe,+ Ee Heshboni,+ kwa maana Ai ameporwa! Paazeni kilio, enyi miji ya kandokando ya Raba. Jifungeni nguo za magunia.+ Ombolezeni, na mwende huku na huku kati ya mazizi ya mawe, kwa maana Malkamu ataenda uhamishoni,+ makuhani wake na wakuu wake, wote pamoja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki