Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 32:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tetemekeni, enyi wanawake mnaostarehe! Fadhaikeni, enyi msiojali! Vueni nguo na kuwa uchi, na kuvaa nguo za magunia viunoni.+

  • Yeremia 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa sababu hiyo vaeni nguo za magunia.+ Pigeni vifua vyenu na kupiga mayowe,+ kwa sababu hasira ya Yehova inayowaka haijaondoka juu yetu.+

  • Yeremia 6:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ee binti ya watu wangu, vaa nguo ya gunia+ na ugaegae katika majivu.+ Omboleza kama kumwombolezea mwana wa pekee, kilio cha uchungu;+ kwa sababu mporaji atakuja juu yetu kwa ghafula.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki