Isaya 32:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tetemekeni, enyi wanawake mnaostarehe! Fadhaikeni, enyi msiojali! Vueni nguo na kuwa uchi, na kuvaa nguo za magunia viunoni.+ Yeremia 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa sababu hiyo vaeni nguo za magunia.+ Pigeni vifua vyenu na kupiga mayowe,+ kwa sababu hasira ya Yehova inayowaka haijaondoka juu yetu.+ Yeremia 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ee binti ya watu wangu, vaa nguo ya gunia+ na ugaegae katika majivu.+ Omboleza kama kumwombolezea mwana wa pekee, kilio cha uchungu;+ kwa sababu mporaji atakuja juu yetu kwa ghafula.+
11 Tetemekeni, enyi wanawake mnaostarehe! Fadhaikeni, enyi msiojali! Vueni nguo na kuwa uchi, na kuvaa nguo za magunia viunoni.+
8 Kwa sababu hiyo vaeni nguo za magunia.+ Pigeni vifua vyenu na kupiga mayowe,+ kwa sababu hasira ya Yehova inayowaka haijaondoka juu yetu.+
26 Ee binti ya watu wangu, vaa nguo ya gunia+ na ugaegae katika majivu.+ Omboleza kama kumwombolezea mwana wa pekee, kilio cha uchungu;+ kwa sababu mporaji atakuja juu yetu kwa ghafula.+