24 “Na itatukia kwamba badala ya mafuta ya zeri+ kutakuwa na harufu tupu ya kuoza; na badala ya mshipi, kamba; na badala ya nywele zilizosukwa kwa mpangilio wa usanii, upara;+ na badala ya vazi lenye thamani, kuvaa nguo za magunia;+ kutiwa alama+ mwilini badala ya urembo.