Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 22:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, atataka katika siku hiyo kuwe kilio+ na maombolezo na upara na kuvaa nguo za magunia.+

  • Ezekieli 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao wamejifunga nguo za magunia,+ na kutetemeka kumewafunika;+ na nyuso zote zina aibu+ na vichwa vyao vyote vina upara.+

  • Mika 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Fanya upara, unyoe nywele zako kwa sababu ya wana wa furaha yako tele.+ Panua upara wako kama ule wa tai, kwa sababu wameondoka kwako kwenda uhamishoni.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki