Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Daudi akaanza kukaa katika ngome hiyo, nayo ikaitwa Jiji la Daudi; na Daudi akaanza kujenga kuzunguka pande zote kuanzia Kilima+ na kuelekea ndani.

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Zaidi ya hayo, Uzia akajenga minara+ katika Yerusalemu kando ya Lango la Pembeni+ na kando ya Lango la Bonde+ na kando ya Nguzo, naye akaitia nguvu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Tena akajipa moyo na kujenga ukuta wote uliovunjika+ na kusimamisha minara+ juu yake, na upande wa nje ukuta mwingine,+ akarekebisha Kilima+ cha Jiji la Daudi, na kutengeneza silaha+ kwa wingi na ngao.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na baada ya hayo akajenga ukuta wa nje+ kwa ajili ya Jiji la Daudi+ upande wa magharibi wa Gihoni+ katika bonde la mto na mpaka Lango la Samaki,+ akauzungusha mpaka Ofeli+ na kuufanya kuwa mrefu sana. Tena akaweka wakuu wa jeshi katika majiji yote yenye ngome katika Yuda.+

  • Zaburi 48:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Pigeni mwendo mkizunguka Sayuni, na kuuzunguka-zunguka;+

      Hesabuni minara yake.+

  • Maombolezo 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wafalme wa dunia na wakaaji wote wa nchi yenye kuzaa hawakuwa wameamini+

      Kwamba mpinzani na adui wataingia katika malango ya Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki