Nehemia 12:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 na juu ya Lango la Efraimu+ na kwenda mpaka kwenye Lango la Jiji la Kale+ mpaka kwenye Lango la Samaki+ na Mnara wa Hananeli+ na Mnara wa Mea+ na kwenda mpaka kwenye Lango la Kondoo;+ nao wakaja kusimama kwenye Lango la Mlinzi. Isaya 33:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Moyo wako utatoa maelezo kwa sauti za chini+ juu ya jambo lenye kuogopesha: “Mwandishi yuko wapi? Anayetoa malipo yuko wapi?+ Anayehesabu minara yuko wapi?”+
39 na juu ya Lango la Efraimu+ na kwenda mpaka kwenye Lango la Jiji la Kale+ mpaka kwenye Lango la Samaki+ na Mnara wa Hananeli+ na Mnara wa Mea+ na kwenda mpaka kwenye Lango la Kondoo;+ nao wakaja kusimama kwenye Lango la Mlinzi.
18 Moyo wako utatoa maelezo kwa sauti za chini+ juu ya jambo lenye kuogopesha: “Mwandishi yuko wapi? Anayetoa malipo yuko wapi?+ Anayehesabu minara yuko wapi?”+