Isaya 33:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Moyoni mwako utakumbuka* jambo linaloogopesha: “Yuko wapi mwandishi? Yuko wapi yule aliyepima ushuru?+ Yuko wapi yule aliyeihesabu minara?” Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 33:18 ip-1 349-350 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 33:18 Unabii wa Isaya 1, kur. 349-350
18 Moyoni mwako utakumbuka* jambo linaloogopesha: “Yuko wapi mwandishi? Yuko wapi yule aliyepima ushuru?+ Yuko wapi yule aliyeihesabu minara?”