Nehemia 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hanuni na wakaaji wa Zanoa+ wakarekebisha Lango la Bonde;+ wao wenyewe walilijenga na kuisimamisha milango+ yake, makomeo+ yake na mapingo+ yake, na pia urefu wa mikono elfu moja katika ukuta mpaka kwenye Lango la Marundo ya Majivu.+
13 Hanuni na wakaaji wa Zanoa+ wakarekebisha Lango la Bonde;+ wao wenyewe walilijenga na kuisimamisha milango+ yake, makomeo+ yake na mapingo+ yake, na pia urefu wa mikono elfu moja katika ukuta mpaka kwenye Lango la Marundo ya Majivu.+