3 Hata hivyo, Samsoni akaendelea kulala mpaka katikati ya usiku, kisha akaamka katikati ya usiku, akakamata milango ya lango+ la jiji na miimo yake miwili, akaing’oa pamoja na pingo, akaiweka juu ya mabega yake, akaichukua+ mpaka kwenye kilele cha mlima ulio mbele ya Hebroni.+