Mwanzo 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 hakika nitakubariki nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga zilizo kando ya bahari;+ na uzao wako utamiliki lango la adui zake.+ Mwanzo 24:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 Nao wakaanza kumbariki Rebeka na kumwambia: “Ewe dada yetu, na uwe maelfu mara elfu kumi, na uzao wako na umiliki lango la wale wanaouchukia.”+
17 hakika nitakubariki nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga zilizo kando ya bahari;+ na uzao wako utamiliki lango la adui zake.+
60 Nao wakaanza kumbariki Rebeka na kumwambia: “Ewe dada yetu, na uwe maelfu mara elfu kumi, na uzao wako na umiliki lango la wale wanaouchukia.”+