13 Naye akampa Kalebu+ mwana wa Yefune fungu katikati ya wana wa Yuda kama Yehova alivyomwamuru Yoshua, yaani, Kiriath-arba (huyo Arba alikuwa baba ya Anaki), yaani, Hebroni.+
11 Basi wakawapa Kiriath-arba+ (huyo Arba alikuwa baba ya Anaki),+ yaani, jiji la Hebroni,+ katika eneo lenye milima la Yuda,+ na viwanja vyake vya malisho kuzunguka pande zote;
10 Basi Yuda akapiga mwendo kwenda juu ya Wakanaani waliokuwa wakikaa katika Hebroni+ (basi jina la Hebroni hapo zamani lilikuwa Kiriath-arba),+ nao wakamuua Sheshai na Ahimani na Talmai.+