2 Mambo ya Nyakati 26:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Zaidi ya hayo, Uzia akajenga minara+ katika Yerusalemu kando ya Lango la Pembeni+ na kando ya Lango la Bonde+ na kando ya Nguzo, naye akaitia nguvu. Nehemia 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nami nikatoka nje usiku kupitia Lango la Bonde+ na mbele ya Chemchemi ya Nyoka Mkubwa na kwenye Lango la Marundo ya Majivu,+ nami nikazidi kuzichunguza kuta+ za Yerusalemu, jinsi zilivyokuwa zimebomolewa na malango+ yake kuteketezwa kwa moto.
9 Zaidi ya hayo, Uzia akajenga minara+ katika Yerusalemu kando ya Lango la Pembeni+ na kando ya Lango la Bonde+ na kando ya Nguzo, naye akaitia nguvu.
13 Nami nikatoka nje usiku kupitia Lango la Bonde+ na mbele ya Chemchemi ya Nyoka Mkubwa na kwenye Lango la Marundo ya Majivu,+ nami nikazidi kuzichunguza kuta+ za Yerusalemu, jinsi zilivyokuwa zimebomolewa na malango+ yake kuteketezwa kwa moto.