2 Mambo ya Nyakati 26:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Zaidi ya hayo, Uzia akajenga minara+ katika Yerusalemu kando ya Lango la Pembeni+ na kando ya Lango la Bonde+ na kando ya Nguzo, naye akaitia nguvu. Nehemia 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hanuni na wakaaji wa Zanoa+ wakarekebisha Lango la Bonde;+ wao wenyewe walilijenga na kuisimamisha milango+ yake, makomeo+ yake na mapingo+ yake, na pia urefu wa mikono elfu moja katika ukuta mpaka kwenye Lango la Marundo ya Majivu.+
9 Zaidi ya hayo, Uzia akajenga minara+ katika Yerusalemu kando ya Lango la Pembeni+ na kando ya Lango la Bonde+ na kando ya Nguzo, naye akaitia nguvu.
13 Hanuni na wakaaji wa Zanoa+ wakarekebisha Lango la Bonde;+ wao wenyewe walilijenga na kuisimamisha milango+ yake, makomeo+ yake na mapingo+ yake, na pia urefu wa mikono elfu moja katika ukuta mpaka kwenye Lango la Marundo ya Majivu.+