Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye Yehoashi mfalme wa Israeli akamkamata Amazia mfalme wa Yuda mwana wa Yehoashi mwana wa Ahazia kule Beth-shemeshi, kisha wakaja Yerusalemu, naye akabomoa shimo katika ukuta wa Yerusalemu katika Lango la Efraimu+ mpaka kwenye Lango la Pembeni,+ urefu wa mikono mia nne.

  • Yeremia 31:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “na hakika jiji litajengwa+ kwa ajili ya Yehova kutoka Mnara wa Hananeli+ mpaka Lango la Pembeni.+

  • Zekaria 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Nchi yote itageuzwa na kuwa kama Araba,+ kutoka Geba+ mpaka Rimoni+ upande wa kusini wa Yerusalemu; nalo litainuka na kukaliwa na watu mahali pake,+ kutoka Lango la Benyamini+ mpaka mahali pa Lango la Kwanza, mpaka Lango la Pembeni, na kutoka Mnara wa Hananeli+ mpaka mitungi ya kushinikizia ya mfalme.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki