27 Nao wakawatafuta Walawi wakati wa kuzindua+ ukuta wa Yerusalemu, ili kuwaleta kutoka mahali pao pote kuja Yerusalemu kuzindua na kushangilia kwa kutoa shukrani+ na kwa kuimba,+ kwa matoazi na vinanda+ na kwa vinubi.+
18 Yehova amesema hivi: “Tazama, ninawakusanya mateka wa mahema ya Yakobo,+ nami nitazihurumia maskani zake. Na kwa kweli jiji litajengwa upya juu ya kilima chake;+ na mnara wa makao utaketi juu ya mahali pake panapoufaa.+