Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye Eliashibu+ kuhani mkuu na ndugu zake, makuhani, wakaondoka na kujenga Lango la Kondoo.+ Wao wenyewe walilitakasa+ na kuisimamisha milango yake; wakalitakasa mpaka kwenye Mnara wa Mea,+ mpaka Mnara wa Hananeli.+

  • Nehemia 12:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 na juu ya Lango la Efraimu+ na kwenda mpaka kwenye Lango la Jiji la Kale+ mpaka kwenye Lango la Samaki+ na Mnara wa Hananeli+ na Mnara wa Mea+ na kwenda mpaka kwenye Lango la Kondoo;+ nao wakaja kusimama kwenye Lango la Mlinzi.

  • Zekaria 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Nchi yote itageuzwa na kuwa kama Araba,+ kutoka Geba+ mpaka Rimoni+ upande wa kusini wa Yerusalemu; nalo litainuka na kukaliwa na watu mahali pake,+ kutoka Lango la Benyamini+ mpaka mahali pa Lango la Kwanza, mpaka Lango la Pembeni, na kutoka Mnara wa Hananeli+ mpaka mitungi ya kushinikizia ya mfalme.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki