Maombolezo 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Njia za Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+Malango yake yote yamefanywa ukiwa;+ makuhani wake wanaugua.+Mabikira wake wamepata huzuni, naye mwenyewe ana uchungu.+ Maombolezo 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Malango+ yake yamezama chini kabisa. Ameharibu na kuvunja mapingo yake vipande-vipande.Mfalme wake na wakuu wake wako kati ya mataifa.+ Hakuna sheria.+Manabii wake pia hawakupata maono kutoka kwa Yehova.+
4 Njia za Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+Malango yake yote yamefanywa ukiwa;+ makuhani wake wanaugua.+Mabikira wake wamepata huzuni, naye mwenyewe ana uchungu.+
9 Malango+ yake yamezama chini kabisa. Ameharibu na kuvunja mapingo yake vipande-vipande.Mfalme wake na wakuu wake wako kati ya mataifa.+ Hakuna sheria.+Manabii wake pia hawakupata maono kutoka kwa Yehova.+