Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Ogu mfalme wa Bashani ndiye tu aliyebaki kati ya mabaki ya Warefaimu.+ Tazama! Sanduku lake lilikuwa sanduku la chuma. Je, haliko kule Raba+ kwa wana wa Amoni? Urefu wake ni mikono tisa, na upana wake ni mikono minne, kwa mkono wa mwanadamu.

  • Yeremia 49:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “‘Kwa hiyo, tazama! siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘nami nitafanya king’ora cha vita+ kisikiwe juu ya Raba+ la wana wa Amoni; na hakika yeye atakuwa kilima cha mahame yenye ukiwa,+ na miji yake ya kandokando+ itawashwa katika moto.’+

      “‘Na Israeli atawamiliki wale wanaommiliki,’+ Yehova amesema.

  • Ezekieli 25:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nami nitafanya Raba+ pawe kiwanja cha malisho cha ngamia na wana wa Amoni wawe mahali pa kupumzika kwa ajili ya kundi;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.” ’ ”+

  • Amosi 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitawasha moto kwenye ukuta wa Raba,+ nao utaiteketeza minara ya makao yake, pamoja na sauti ya king’ora siku ya pigano, pamoja na tufani siku ya upepo wa dhoruba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki