14 Kwa maana mnara wa makao umeachwa,+ kelele za jiji zimeachwa; Ofeli+ na mnara wa mlinzi umekuwa nyika, kwa wakati usio na kipimo furaha ya punda-milia, malisho ya makundi;
15 Wana-simba wenye manyoya shingoni wananguruma+ juu yake; wametoa sauti zao.+ Nao wakaifanya nchi yake kuwa kitu cha kushangaza. Majiji yake yamewashwa moto, hivi kwamba hakuna mkaaji.+
12 Basi kwa sababu yenu Sayuni utalimwa kama shamba, na Yerusalemu litakuwa marundo ya mabomoko,+ na mlima wa nyumba hiyo utakuwa kama mahali pa juu pa msitu.