Yeremia 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 juu ya milima porini. Mali zako, hazina zako zote, nitazitoa ziporwe tu+—mahali pako pa juu kwa sababu ya dhambi katika maeneo yako yote.+ Ezekieli 16:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nami nitakutia mkononi mwao, nao hakika watakibomoa kilima+ chako na vilele vyako hakika vitabomolewa,+ nao watakuvua mavazi+ yako na kuvichukua vyombo vyako vyenye urembo+ na kukuacha ukiwa uchi na tupu.
3 juu ya milima porini. Mali zako, hazina zako zote, nitazitoa ziporwe tu+—mahali pako pa juu kwa sababu ya dhambi katika maeneo yako yote.+
39 Nami nitakutia mkononi mwao, nao hakika watakibomoa kilima+ chako na vilele vyako hakika vitabomolewa,+ nao watakuvua mavazi+ yako na kuvichukua vyombo vyako vyenye urembo+ na kukuacha ukiwa uchi na tupu.