2 Wafalme 24:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo akaondoa hapo hazina zote za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme,+ akakata vipande-vipande vyombo vyote vya dhahabu+ ambavyo Sulemani mfalme wa Israeli alikuwa ametengeneza katika hekalu la Yehova, kama Yehova alivyokuwa amesema. Yeremia 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mali yako na hazina zako nitazitoa ziporwe,+ si kwa sababu zimelipiwa bei yake, bali kwa sababu ya dhambi zako zote, katika maeneo yako yote.+
13 Ndipo akaondoa hapo hazina zote za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme,+ akakata vipande-vipande vyombo vyote vya dhahabu+ ambavyo Sulemani mfalme wa Israeli alikuwa ametengeneza katika hekalu la Yehova, kama Yehova alivyokuwa amesema.
13 Mali yako na hazina zako nitazitoa ziporwe,+ si kwa sababu zimelipiwa bei yake, bali kwa sababu ya dhambi zako zote, katika maeneo yako yote.+