6 Katika makao yenu yote, majiji yataharibiwa+ na mahali pa juu patabomolewa na kuachwa ukiwa.+ Madhabahu zenu zitaharibiwa na kuvunjwa vipandevipande, sanamu zenu zinazochukiza zitaharibiwa, vinara vyenu vya uvumba vitakatwakatwa, na kazi zenu zitafutiliwa mbali.