6 Katika makao+ yenu yote majiji yataharibiwa+ na mahali pa juu patafanywa ukiwa, ili padumu katika uharibifu+ na madhabahu zenu zikae ukiwa na kuvunjwa+ nazo sanamu zenu za mavi zikomeshwe+ na vinara vyenu vya uvumba vikatwe+ na kazi zenu zifutiliwe mbali.