Yeremia 34:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 majeshi ya mfalme wa Babiloni yalipokuwa yakishambulia Yerusalemu na majiji yote ya Yuda yaliyobaki,+ yakishambulia Lakishi+ na Azeka;+ kwa maana hayo ndiyo majiji pekee ya Yuda yenye ngome yaliyobaki. Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 34:7 w07 11/15 14 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 34:7 Mnara wa Mlinzi,11/15/2007, uku. 14
7 majeshi ya mfalme wa Babiloni yalipokuwa yakishambulia Yerusalemu na majiji yote ya Yuda yaliyobaki,+ yakishambulia Lakishi+ na Azeka;+ kwa maana hayo ndiyo majiji pekee ya Yuda yenye ngome yaliyobaki.