Ezekieli 23:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kwa kuwa umenisahau nawe umenipuuza kabisa,*+ utapata madhara ya mwenendo wako mchafu na matendo yako ya ukahaba.’”
35 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kwa kuwa umenisahau nawe umenipuuza kabisa,*+ utapata madhara ya mwenendo wako mchafu na matendo yako ya ukahaba.’”