Ezekieli 23:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu umenisahau+ nawe ulinitupa nyuma ya mgongo wako,+ basi wewe mwenyewe pia chukua mwenendo wako mpotovu na matendo yako ya ukahaba.’ ”
35 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu umenisahau+ nawe ulinitupa nyuma ya mgongo wako,+ basi wewe mwenyewe pia chukua mwenendo wako mpotovu na matendo yako ya ukahaba.’ ”