Mathayo 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+ Waroma 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 nawe umesadikishwa kwamba wewe ni kiongozi wa walio vipofu,+ nuru kwa wale walio katika giza,+
14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+