Isaya 42:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 ili wewe uyafungue macho yenye upofu,+ umtoe mfungwa katika gereza la shimoni,+ uwatoe katika nyumba ya kizuizini wale wanaoketi gizani.+ Mathayo 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+ Mathayo 23:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Ole wenu ninyi, viongozi vipofu,+ mnaosema, ‘Mtu yeyote akiapa kwa hekalu, si kitu; lakini mtu yeyote akiapa kwa dhahabu ya hekalu, atakuwa na wajibu.’+
7 ili wewe uyafungue macho yenye upofu,+ umtoe mfungwa katika gereza la shimoni,+ uwatoe katika nyumba ya kizuizini wale wanaoketi gizani.+
14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+
16 “Ole wenu ninyi, viongozi vipofu,+ mnaosema, ‘Mtu yeyote akiapa kwa hekalu, si kitu; lakini mtu yeyote akiapa kwa dhahabu ya hekalu, atakuwa na wajibu.’+