Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 42:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 ili wewe uyafungue macho yenye upofu,+ umtoe mfungwa katika gereza la shimoni,+ uwatoe katika nyumba ya kizuizini wale wanaoketi gizani.+

  • Mathayo 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+

  • Mathayo 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Ole wenu ninyi, viongozi vipofu,+ mnaosema, ‘Mtu yeyote akiapa kwa hekalu, si kitu; lakini mtu yeyote akiapa kwa dhahabu ya hekalu, atakuwa na wajibu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki