Waebrania 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na ili awaweke huru+ wale wote ambao kwa kuogopa kifo+ walikuwa wametiishwa chini ya utumwa katika maisha yao yote.+ 1 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+
15 na ili awaweke huru+ wale wote ambao kwa kuogopa kifo+ walikuwa wametiishwa chini ya utumwa katika maisha yao yote.+
9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+