Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Ikiwa mwanamke atachukua mimba+ na kuzaa mtoto wa kiume, atakuwa asiye safi kwa siku saba; kama vile katika siku za uchafu wakati anapokuwa na hedhi atakuwa asiye safi.+

  • Mambo ya Walawi 15:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “‘Na ikiwa mwanamke ana mtiririko unaotoka, nao mtiririko wake unaotoka katika mwili wake uwe ni damu,+ ataendelea kwa siku saba kuwa katika uchafu+ wake wa hedhi,+ na yeyote atakayemgusa atakuwa asiye safi mpaka jioni.

  • Mambo ya Walawi 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na katika siku ya nane atajichukulia njiwa-tetere+ wawili au hua wawili wachanga, naye atawaleta kwa kuhani katika mwingilio wa hema la mkutano.+

  • Mambo ya Walawi 18:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “‘Nawe usimkaribie mwanamke wakati wa hedhi+ ya uchafu wake ili kuufunua uchi wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki