19 “‘Na ikiwa mwanamke ana mtiririko unaotoka, nao mtiririko wake unaotoka katika mwili wake uwe ni damu,+ ataendelea kwa siku saba kuwa katika uchafu+ wake wa hedhi,+ na yeyote atakayemgusa atakuwa asiye safi mpaka jioni.
24 Na ikiwa mwanamume atalala naye na uchafu wake wa hedhi uwe juu yake,+ ndipo atakuwa asiye safi kwa siku saba, na kitanda chochote ambacho mwanamume huyo huenda akalalia kitakuwa si safi.
18 “‘Na mwanamume akilala na mwanamke mwenye hedhi na kuufunua uchi wake, ameifunua chemchemi yake, naye mwanamke huyo ameifichua chemchemi ya damu yake.+ Kwa hiyo wote wawili watakatiliwa mbali kutoka katikati ya watu wao.