Mambo ya Walawi 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Mwanamume akifanya ngono na mwanamke mwenye hedhi, mwanamume huyo na mwanamke huyo wamefunua mtiririko wa damu yake.+ Ni lazima wote wawili wauawe. Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 20:18 Ufahamu, uku. 372 Mnara wa Mlinzi,6/1/1989, uku. 14
18 “‘Mwanamume akifanya ngono na mwanamke mwenye hedhi, mwanamume huyo na mwanamke huyo wamefunua mtiririko wa damu yake.+ Ni lazima wote wawili wauawe.