Kutoka 20:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Usiitamani nyumba ya mwenzako. Usimtamani mke wa mwenzako,+ wala mtumwa wake wala kijakazi wake wala ng’ombe-dume wake wala punda wake wala chochote cha mwenzako.”+ Mambo ya Walawi 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Msiibe,+ wala msidanganye,+ wala msitendeane kwa uwongo mtu yeyote na mwenzake.+ 1 Wakorintho 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi kuhusu mambo ambayo mliandika habari zake, ni vema mwanamume asimguse+ mwanamke;
17 “Usiitamani nyumba ya mwenzako. Usimtamani mke wa mwenzako,+ wala mtumwa wake wala kijakazi wake wala ng’ombe-dume wake wala punda wake wala chochote cha mwenzako.”+