Mwanzo 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Mungu wa kweli akamwambia katika ndoto: “Mimi pia nimejua kwamba katika unyoofu wa moyo wako umefanya hili,+ nami pia nilikuwa nikikuzuia usinitendee dhambi.+ Ndiyo sababu mimi sikukuruhusu umguse.+ Kumbukumbu la Torati 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Na mwanamume akimkuta msichana, bikira ambaye hajachumbiwa, naye kwa kweli amkamate na kulala naye,+ nao wapatikane,+ Methali 6:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ndivyo ilivyo kwa yule anayelala na mke wa mwenzake,+ mtu anayemgusa hatakosa kuadhibiwa.+
6 Basi Mungu wa kweli akamwambia katika ndoto: “Mimi pia nimejua kwamba katika unyoofu wa moyo wako umefanya hili,+ nami pia nilikuwa nikikuzuia usinitendee dhambi.+ Ndiyo sababu mimi sikukuruhusu umguse.+
28 “Na mwanamume akimkuta msichana, bikira ambaye hajachumbiwa, naye kwa kweli amkamate na kulala naye,+ nao wapatikane,+