Mwanzo 34:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye Shekemu mwana wa Hamori Mhivi,+ mkuu wa nchi, akamwona, kisha akamchukua, akalala naye, akamnajisi.+ 2 Samweli 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye hakukubali kuisikiliza sauti yake, bali akatumia nguvu kubwa kuliko zake, akamfedhehesha+ na kulala naye.+
2 Naye Shekemu mwana wa Hamori Mhivi,+ mkuu wa nchi, akamwona, kisha akamchukua, akalala naye, akamnajisi.+
14 Naye hakukubali kuisikiliza sauti yake, bali akatumia nguvu kubwa kuliko zake, akamfedhehesha+ na kulala naye.+