Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 ndipo wana wa Mungu wa kweli+ wakaanza kuwaona+ mabinti wa wanadamu, kwamba ni wenye sura ya kupendeza; nao wakajichukulia wake, yaani, wote waliowachagua.

  • Mwanzo 34:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na wakamuua Hamori na Shekemu mwana wake kwa makali ya upanga.+ Kisha wakamchukua Dina kutoka nyumbani kwa Shekemu, wakatoka nje.+

  • Kumbukumbu la Torati 22:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 mwanamume aliyelala naye atampa baba ya msichana shekeli 50,+ naye msichana huyo atakuwa mke wake kwa sababu mwanamume huyo alimfedhehesha. Hataruhusiwa kumtaliki siku zake zote.+

  • 2 Samweli 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye hakukubali kuisikiliza sauti yake, bali akatumia nguvu kubwa kuliko zake, akamfedhehesha+ na kulala naye.+

  • 1 Wakorintho 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ukimbieni uasherati.+ Kila dhambi nyingine ambayo mtu huenda akafanya iko nje ya mwili wake, lakini yeye aliye na mazoea ya kufanya uasherati anautendea dhambi mwili+ wake mwenyewe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki