Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na ikaja siku ambapo wana wa Mungu wa kweli+ waliingia na kusimama mbele za Yehova,+ na hata Shetani+ akaingia katikati yao.+

  • Ayubu 38:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nyota za asubuhi+ zilipopiga vigelegele pamoja kwa shangwe,

      Na wana wote wa Mungu+ wakaanza kupaaza sauti kwa kushangilia?

  • 2 Petro 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hakika ikiwa Mungu hakujizuia kuwaadhibu wale malaika+ waliofanya dhambi, bali, kwa kuwatupa ndani ya Tartaro,+ aliwatia ndani ya mashimo yenye giza zito ili wawekwe akiba kwa ajili ya hukumu;+

  • Yuda 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na malaika ambao hawakubaki mahali pao pa kwanza bali wakayaacha makao yao wenyewe yanayofaa+ amewaweka akiba wakiwa na vifungo vya milele+ chini ya giza zito kwa ajili ya hukumu ya ile siku kuu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki