2 ndipo wana wa Mungu wa kweli+ wakaanza kuwaona+ mabinti wa wanadamu, kwamba ni wenye sura ya kupendeza; nao wakajichukulia wake, yaani, wote waliowachagua.
25 Akajibu na kusema: “Tazama! Mimi naona wanaume wanne wakitembea wakiwa huru katikati ya moto, nao hawana dhara lolote, na sura ya yule wa nne inafanana na mwana wa miungu.”+