Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 ndipo wana wa Mungu wa kweli+ wakaanza kuwaona+ mabinti wa wanadamu, kwamba ni wenye sura ya kupendeza; nao wakajichukulia wake, yaani, wote waliowachagua.

  • 1 Wafalme 22:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye akaendelea kusema: “Basi sikia neno la Yehova:+ Hakika ninamwona Yehova ameketi juu ya kiti chake cha ufalme+ na jeshi lote la mbinguni limesimama kando yake, upande wake wa kuume na upande wake wa kushoto.+

  • Ayubu 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na ikaja siku ambapo wana wa Mungu wa kweli+ waliingia na kusimama mbele za Yehova,+ na hata Shetani+ akaingia katikati yao.+

  • Ayubu 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baadaye ikaja siku ambapo wana wa Mungu wa kweli waliingia na kusimama mbele za Yehova, na Shetani pia akaingia katikati yao na kusimama mbele za Yehova.+

  • Zaburi 89:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana ni nani kule angani anayeweza kulinganishwa na Yehova?+

      Ni nani anayeweza kufanana na Yehova kati ya wana wa Mungu?+

  • Zaburi 104:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Anayewafanya malaika zake kuwa roho,+

      Na wahudumu wake kuwa moto unaoteketeza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki