3Naye akanionyesha Yoshua+ kuhani mkuu akiwa amesimama mbele ya malaika wa Yehova, naye Shetani+ akiwa amesimama kwenye mkono wake wa kuume ili kumpinga.+
9 Kwa hiyo yule joka+ mkubwa akatupwa chini, yule nyoka wa zamani,+ yeye anayeitwa Ibilisi+ na Shetani,+ anayeipotosha dunia nzima inayokaliwa;+ akatupwa chini duniani,+ na malaika zake wakatupwa chini pamoja naye.