13 “Nikaendelea kuona katika maono ya usiku, na, tazama! mtu fulani kama mwana wa binadamu+ alikuwa anakuja na mawingu+ ya mbingu; naye akaja kwa Mzee wa Siku,+ nao wakamleta karibu mbele zake Yule.+
10 Angalieni msimdharau mmoja wa hawa wadogo; kwa maana ninawaambia ninyi kwamba malaika zao+ mbinguni sikuzote huuona uso wa Baba yangu aliye mbinguni.+