1 Wakorintho 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Je, hamjui kwamba tutawahukumu malaika?+ Kwa nini, basi, isiwe mambo ya maisha haya? 2 Petro 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hakika ikiwa Mungu hakujizuia kuwaadhibu wale malaika+ waliofanya dhambi, bali, kwa kuwatupa ndani ya Tartaro,+ aliwatia ndani ya mashimo yenye giza zito ili wawekwe akiba kwa ajili ya hukumu;+ Ufunuo 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nami nikamwona malaika akishuka kutoka mbinguni mwenye ufunguo wa abiso+ na mnyororo mkubwa mkononi mwake.
4 Hakika ikiwa Mungu hakujizuia kuwaadhibu wale malaika+ waliofanya dhambi, bali, kwa kuwatupa ndani ya Tartaro,+ aliwatia ndani ya mashimo yenye giza zito ili wawekwe akiba kwa ajili ya hukumu;+
20 Nami nikamwona malaika akishuka kutoka mbinguni mwenye ufunguo wa abiso+ na mnyororo mkubwa mkononi mwake.