Zaburi 106:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Tumetenda dhambi kama mababu zetu;+Tumefanya kosa; tumetenda kwa uovu.+ Methali 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+ lakini yeye anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+